Home » » MKURUGENZI MKUU PSPF AKUTANA NA MADIWANI WA KIGOMA

MKURUGENZI MKUU PSPF AKUTANA NA MADIWANI WA KIGOMA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

 Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, akizungumza na madiwani wa Manispaa ya Kigoma-Ujiji kwenye makao makuu ya PSPF jijini Dar es Salaam jana. Kulia kwa Mkurugenzi Mkuu, ni Meya wa Manispaa ya Kigoma-Ujiji, Bakari Beji.
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, akizungumza na madiwani wa Manispaa ya Kigoma-Ujiji kwenye makao makuu ya PSPF jijini Dar es Salaam jana. Kulia kwa Mkurugenzi Mkuu, ni Meya wa Manispaa ya Kigoma-Ujiji, Bakari Beji na Kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Uwekezaji wa PSPF, Gabriel Silayo.
 Mkurugenzi Mkuu wa PSPF, Adam Mayingu (Kulia), akitoa maelezo kwa madiwani wa Manispaa ya Kigoma-Ujiji, wakiongozwa na Meya wa Manispaa hiyo, Bakari Beji, (Wanne Kulia), walipotembelea makao makuui ya PSPF jijini Dar es Salaam jana. Wasita kulia ni Mkurugenzi wa Uwekezaji wa PSPF, Gabriel Silayo.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Kigoma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa