Wanafunzi wa darasa la 5 na 6 katika Shule ya msingi Uhuru iliyopo Kasulu Mjini Mkoani Kigoma wakilisagata gozi la Ng’ombe katika uwanja wa shule hiyo hivi karibu wakati wa mapumziko. Michezo huchangamsha mwili na akili na kuwafanya watoto kuweza kufanya vizuri zaidi katika masomo yao.
PICHA NA FATHER KIDEVU BLOG
0 comments:
Post a Comment