Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Mh Ramadhani Maneno
akimkabidhi kitita cha Shilingi laki saba kepteni wa timu ya wanawake ya
upendo bi mawazo shaban Juhudi mara baada ya kuibuka kidedea kwenye
fainali hiyo.
Mabingwa wa akimkabidhi kitita cha Shilingi laki saba kepteni wa timu ya wanawake ya
upendo bi mawazo shaban Juhudi mara baada ya kuibuka kidedea kwenye
fainali hiyo.
mashindano ya Balimi boat race mkoa wa kigoma upande wa wanaume Timu ya
Katonga A wanaume wakishangilia mara baada ya kuwa mabingwa wa mkoa
huo na kukabidhiwa jumla ya shilingi laki tisa kama zawadi ya ushindi
wa kwanza.
Meneja wa Bia ya Balimi Edith Bebwa kulia akishuhudia namna wachezaji wa timu mbalimbali walivyokuwa wakitoana jasho kwenye fainali ya Mashindano ya Kupiga makasia ya Bia ya Balimi kwenye ziwa Tanganyika.
0 comments:
Post a Comment