Home » » Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Bw. Adam Mayingu afanya Ziara Mkoa wa Kigoma

Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Bw. Adam Mayingu afanya Ziara Mkoa wa Kigoma

 Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Bw. Adam Mayingu, akitoa maelezo kwa Mkuu wa mkoa wa Kigoma,  Luteni Kanali (Mstaafu)  Issa machibya juu ya ziara yake katika mkoa huo ambayo ililenga kukutana na wadau wa Mfuko huo, kuangalia fursa za uwekezaji na kuhamasisha jamii kujiunga katika mpango wa uchangiaji wa hiari (PSPF Supplementary Scheme) ambapo kila mtu anaweza kujiunga na kujipatia mafao bora kwa maisha ya sasa na ya baadaye.
 Mkurugezi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Bw. Adam Mayingu, akiangalia baadhi ya bidhaa katika soko kuu la mkao wa Kigoma. Kulia ni Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kigoma Ujiji, Bw. Bakari Beji. Lengo la zaira ya watendaji wa PSPF mkoani humo ni kukutana na wadau wa Mfuko huo, kuangalia fursa za uwekezaji na kuhamasisha jamii kujiunga katika mpango wa uchangiaji wa hiari (PSPF Supplementary Scheme) ambapo kila mtu anaweza kujiunga na kujipatia mafao bora kwa maisha ya sasa na baadaye.



Ujumbe wa watendaji wa PSPF pamoja na wale wa Manispaa ya Kigoma Ujiji wakitembelea moja ya soko. Mkurugenzi Mkuu wa PSPF Bw. Adam Mayingu aliongoza ujumbe wa watendaji wake mkoani Kigoma kwa lengo la kukutana na wadau wa Mfuko huo, kuangalia fursa za uwekezaji na na kuhamasisha jamii kujiunga katika mpango wa uchangiaji wa hiari (PSPF Supplementary Scheme) ambapo kila mtu anaweza kujiunga na kujipatia mafao bora kwa maisha ya sasa na baadaye.





Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Kigoma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa