Home » » MFAHAMU MAMA SHUJAA WA CHAKULA KUTOKA MKOA WA KIGOMA ANAYETARAJIA KUINGIA KIJIJI CHA MAISHA PLUS SIKU YA JUMAPILI WIKI HII!

MFAHAMU MAMA SHUJAA WA CHAKULA KUTOKA MKOA WA KIGOMA ANAYETARAJIA KUINGIA KIJIJI CHA MAISHA PLUS SIKU YA JUMAPILI WIKI HII!

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

ZINAIDA JAMES KIJERI (40) mkazi wa Kakonko Kigoma, namba yake ya ushiriki ni MS 10, ni mkulima wa shamba la ukubwa wa ekari 7 na mfugaji wa ng’ombe 10 na mbuzi 15.

ANADHANI YEYE NI MFANO WA KUIGWA: Kwa sababu anajiamini na anajituma katika shughuli mbalimbali na pia kushauriana na wafugaji wengine pamoja na wakulima. Anasema "Kwa mwaka ninavuna mazao gunia 30 na ninapata lita 1,825 za maziwa"

MAISHA PLUS/ MAMA SHUJAA WA CHAKULA

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Kigoma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa