Home » » ZITTO KABWE NA MKEWE WAPATA MTOTO WA KIKE

ZITTO KABWE NA MKEWE WAPATA MTOTO WA KIKE

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Ameandika ''Mimi na Mke wangu mpendwa tumebarikiwa na Allah kupata mtoto wa kike. Mtoto na mama yake wana afya njema kabisa, Mashaallah. Mtoto amezaliwa saa moja na dakika 45 asubuhi leo Disemba 27, 2016''''.

''Binti yetu ataitwa Josina - Umm Kulthum. Josina kwa heshima ya mwanamama mpigania Uhuru wa Kusini mwa Afrika, Josina Muthembi Machel wa FRELIMO. Umm Kulthum kwa heshima ya mama yangu mdogo na pia jina la binti wa Mtume Muhammad (SAW)''
''Tunamshukuru mungu kwa Baraka hizi za mtoto Josina - Umm Kulthum Zitto'' Kabwe Z. Ruyagwa Zitto


Kabwe Z. Ruyagwa Zitto
Disemba 27, 2016
Dar Es Salaam

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Kigoma Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa